Wiper party leader Kalonzo Musyoka has accused the national government of sabotaging devolution by failing to disburse funds to the devolved units on time. His statement comes amid the cry by the counties over inability to pay salaries and implement development projects. The wiper leader spoke in Machakos County and was accompanied by Governor Wavinya […]
Kinara wa chama cha wiper Kalonzo Musyoka amefichua kuwa muungano wa azmio utatoa wanachma wake watakaokuwa kwenye mazungumzo ya pamoja na serikali. Kulingana naye, wanakubaliana na mazungumzo anayosema sharti yawe wazi huku viongozi wengine wanaoegemea upande wa azmio wakitaka viogozi wa kidini kujumuishwa kwenye mazungumzo hayo.