Viongozi wa muungano wa azimio la umoja wakiongozwa na kinara wao Raila Odinga wameukosoa uongozi wa rais William Ruto wakisema kenya kwanza imekosa kutimiza ahadi ilizotoa kwa wakenya mwaka uliopita. Wamedokeza kuwa watachukua hatua ambayo hawakutangaza rasmi inayohusiana na ile shighuli waliyokuwa wameanza ya kukusanya sahihi milioni kumi na tano za kumng’atua rais ruto na […]
Opposition Leader Raila Odinga has criticized President William Ruto’s administration for failing to cushion Kenyans against the high cost of living. While addressing journalists in the wake of increased fuel prices announced by EPRA, the Azimio Leader said President Ruto has marked his one year in office by uncontrollably increasing taxes on Kenyans and at […]