1. Home
  2. William Ruto

William Ruto

Baadhi ya wabunge wa ODM kutoka Nyanza walalamikia Rais William Ruto kutowashirikisha kwenye ziara

Baashi ya Wabunge wa ODM kutoka eneo la Nyanza sasa wanalalamikia Rais William Ruto kutowashirikisha kwenye ziara yake inayokamilika leo katika eneo hilo. Wakiongozwa na mbunge wa kasipul Charles Were viongozi hao walilalamikia matamshi ya rais katika eneo la sindo kuhusu maandamano wakisema hayafai hawa wakati huu ambapo mazungumzo ya maridhiano yanaendelea.

DP Gachagua differs with President Ruto, maintains Kenya Kwanza government is shareholding company

Deputy president Rigathi Gachagua carried the government shareholding message to Meru saying he would galvanise the Mt. Kenya region to unite and back the president in the next general election. Gachagua who was attending a funeral in Tigania, appeared to pay little attention to president William’s statement yesterday that the government is not a company. […]