Kalonzo Musyoka amkosoa waziri wa biashara na viwanda Moses Kuria
0
6
Viongozi kutoka kaunti ya machakos wameshtumu vikali matamshi ya waziri wa biashara na viwanda Moses Kuria ya kutaka kuwafurusha watu wanaoishi katika shamba la kampuni ya simiti ya Portland. Wakiongozwa na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, viongozi hao wanasema hawaturuhusu jaribio la kuwafurusha wakazi hao huku wakimtaka Rais William Ruto kuingilia kati swala hilo
Hustlers have no God father or guardian angel. Their livelihood is the hands of their Creator. Not Ruto. Moses Kuria’s words are not a slip of the tongue. It’s Kenya Kwanza speaking.
Sauti kama ya chura potelea pote
Sonko is part of every mix🤣🤣
Moses aende central
do you SEMEN RETEIN ??
More on how to @RastaCorner YouTube
Land grabbers must be stopped however much wavinya and kalonzo make noise