Raila Odinga aongoza mkutano wa wabunge wa Azimio
0
10
Viongozi wa muungano wa Azimio La Umoja One Kenya Raila Odinga, Martha Karua na Kalonzo Musyoka wanasisitiza kwamba mrengo wa azimio una wabunge wengi kuliko kenya kwanza katika bunge la kitaifa. Na kwamba watachukua viti vya walio wengi. Viongozi hao walizungumza katika kaunti ya Machakos katika kongamano la wabunge wa Azimio
Tulimaliza siyasa sasa fanyieni wananchi kazi
Kwa ground vitu ni different
Kwa wako majority aje kama wameshindwa speaker both house
Wacha kalele mingi wewe mama umeshinda kuleta kura kutoka Mt Kenya
Musitusubue pliz tumechoka kama mmeshidwa nixizuri sana
I see, Raila and Ruto have already talked
Martha you don’t have even a single mp,Mca
Majority party in parliament how?I can see Junet ametulia kama mtungi ya maji.. Ruto the 5th President