Shirika la viongozi wanawake wa Afrika lakosoa maandamano inayoongozwa na Raila Odinga
0
11
Shirika la viongozi wanawake kutoka africa limeashiria kutorithishwa kwao na maandamano yaliyofanywa siku ya jumatatu pamoja na kutoteuliwa kwa angalau wanawake wanaoishi na ulemavu kwenye orodha ya hivi majuzi ya makatibu waaandamizi wa wizara.
Please can someone send to this women the clips of the maandamano..and see women were also there ….tuta andamana till this government cry
Let’s wait, mtalia
Kwendeni zenu tutaandamana hdi ushindi wa baba urundishwe
Baba will never be even a chief in this country
Waulize hao wanaishi wapi Kenya hii,wanaishi kwa ma suburbs, driving cars while the poor are suffering
Wamelipwa pesa ngapi
Huyu ni mama mboga kweli kachibuaaa nyooo
Wanawake ama malaya?
Just a few women calling themselves women of kenya, maajabu
These old warthogs are misleading the country